• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Tanzania Rural and Urban Roads Agency-TARURA
Tanzania Rural and Urban Roads Agency-TARURA

Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Muundo wa Taasisi
    • Dira na Dhima
  • Miradi na Programu
    • Project and Program
    • RISE - MAY- 2021
    • TeRMIS
  • Utawala
    • Kurugenzi ya Barabara
      • Sehemu ya Barabara Vijijini
      • Sehemu ya Barabara Mijini
    • Kurugenzi ya Mipango na Miundombinu
      • Sehemu ya Usalama Barabarani
      • Sehemu ya Mipango na Miundombinu ya Barabara
    • Kurugenzi ya Huduma Saidizi
      • Sehemu ya Rasilimali Watu na Utawala
      • Sehemu ya Mipango, Ufuatiliaji na Tathimini
    • Kitengo cha Uhasibu
    • Kitengo cha Tafiti na Udhibiti Ubora
    • Kitengo cha Teknlojia ya Habari na Takwimu
    • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
    • Kitengo cha Ununuzi
    • Kitengo cha Huduma za Sheria
    • Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano
    • Kitengo cha Mazingira na Maendeleo ya Jamii
  • Machapisho
    • Taarifa Mbalimbali
    • Bajeti na Taarifa za Mapato
    • Fomu Mbalimbali
    • Majarida
    • Vipeperushi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa Kwa vyombo vya habari
    • Maktaba ya Video
    • Habari
    • Matukio
    • Maktaba ya Picha
  • Manunuzi
    • Taarifa ya Manunuzi
    • Zabuni za Wazi
    • Tuzo za Zabuni
  • Mitandao ya Barabara
    • Mitandao ya Barabara za Tarura
  • Mikoa
    • Mameneja wa Mikoa
    • Mameneja wa Wilaya

Historia

Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) ulifunguliwa rasmi na Mheshimiwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Kassim tarehe 2 Julai 2017. Uzinduzi wa TARURA ulifuatiwa na  kutangazwa katika Gazeti la Serikali Na.GN 211 ya 12 Mei 2017.

Waziri Mkuu alielekeza TARURA kukataa rushwa kubwa ambayo inashiriki katika michakato ya zabuni, hasa kwenye  miradi ya barabara. "Wakandarasi wenye uwezo tu wanapaswa kuajiriwa kutekeleza miradi ya barabara kupitia zabuni za ushindani," alisema Waziri Mkuu. Pia aliagiza TARURA kushughulikia usimamizi mbovu wa mikataba ya ujenzi kati ya Wakandarasi na Mamlaka katika miradi ya barabara, kusisitiza juu ya uwazi katika mikataba yote ya kazi za umma.

Mh. Majaliwa aliwaonya baadhi ya viongozi wa halmashauri ya wilaya ambao walishutumiwa kwa kubadilisha matumizi ya  fedha zilizotengwa kwa ajili ya miradi ya barabara kwenye miradi mingine, alisema kuwa fedha zinapaswa zitumiwe kwenye  miradi iliyopangwa.

Alisema kuwa TARURA itawezesha maboresho kwenye  mtandao wa barabara za vijijini na mijini, na kuwezesha watu kusafirisha mazao na vitu vingine kutoka vijiji hadi maeneo ya mijini.

"Wakala mpya ni ufunguo katika kuelekea kuimarisha uzalishaji kwenye kilimo kwa kuwezesha usafirishaji wa mazao kwa sokoni. Pia itakuwa muhimu kwa ukuaji wetu wa uchumi, " aliongeza kuwa TARURA itasaidia kubadilisha maisha ya watu, kupunguza hatari na muda watumia kwenye barabara.

Mh.Majaliwa alisema Wakala   mpya utawezesha utoaji wa huduma za kijamii kwa watu hasa katika maeneo ya vijijini. Pia alipitisha ugawaji wa fedha kutoka Mfuko wa Barabara kwenda Wakala wa Barabara  TANROAD  na TARURA kwa asilimia 70 na  30, kwa mtiririko huo.

Mapema, Waziri wa Nchi katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,Mh. George Simbachawene, alimsihi  Waziri Mkuu kupitia ugawaji wa fedha kutoka Mfuko wa Barabara kwa TANROAD na TARURA.

"TARURA ni ufunguo wa maendeleo ya Jamii na itakuza kiwango cha uchumi wa Taifa," alisema, akibainisha kuwa miundombinu ya barabara husaidia kuboresha uzalishaji kwenye kilimo na pia kuwezesha utoaji mororo wa huduma za kijamii kwa wananchi.

Waziri alidokeza kuwa mtandao wa barabara chini ya Mamlaka za Serikali za Mitaa zina kilomita 108,942.2, ambazo ni zaidi ya nusu ya mtandao wa barabara nchi nzima.


Matangazo

  • INVITATION FOR TENDERS - DODOMA June 08, 2022
  • TANGAZO LA KAZI -KAGERA April 21, 2022
  • CALL FOR INTERVIEW - MTWARA January 17, 2022
  • CALL FOR AN INTERVIEW - MWANZA December 23, 2021
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ZIARA YA MTENDAJI MKUU TARURA YALETA FARAJA KWA WANANCHI - KASEKE

    May 19, 2022
  • TARURA TANGANYIKA WAPEWA SIKU 30 KUKAMILISHA UKARABATI DARAJA LA IFUME

    May 18, 2022
  • WATUMISHI TARURA WAHIMIZWA KUFANYA KAZI KWA BIDII

    May 16, 2022
  • BODI YA USHAURI TARURA YAFANYA UKAGUZI UJENZI WA BARABARA KATIKA MJI WA SERIKALI MTUMBA

    April 29, 2022
  • Angalia zote

Video

Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Barua pepe za Watumishi - TARURA
  • Mfumo wa Maegesho (TeRMIS)
  • Lipia Maegesho (TeRMIS)
  • Mfumo wa eMrejesho

Tovuti Muhimu

  • Wakala wa Barabara
  • Baraza la Mitihani la Taifa
  • OR-TAMISEMI
  • Wizara ya Fedha na Mipango
  • Wizara ya Ujenzi uchukuzi na mawasiliano
  • Utumishi
  • Wakala ya Serikali Mtandao
  • Baraza la Mitihani
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • Ikulu
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi
  • Instragram_tarura
  • twitter_tarura
  • Mfumo wa Maegesho (TeRMIS)
  • Mfumo wa eMrejesho

Waliotembelea duniani

world map hits counter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    TANZANIA RURAL AND URBAN ROADS AGENCY (TARURA),TARURA HOUSE GOVERNMENT CITY -MTUMBA

    Anuani ya Posta: P.O BOX 11042, DODOMA

    Simu ya mezani: 026-2963846

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ceo@tarura.go.tz

Mawasiliano Mengine

   

Idadi ya Waliotembelea

StatCounter

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hati Miliki @2017 TARURA. Haki zote zimehifadhiwa